Updates..Kilichosababisha Sintofamu Kivuko cha Kigamboni leo Asubuhi Kutaka Kuzama Hichi Hapa



Updates -  Kivuko cha MV Kigamboni mapema leo kilikaribia kuzama baada ya kuzidisha abiria na mizigo, baadhi ya abiria wajitosa na kuogelea.
Kilipoteza mwelekeo na kuacha njia yake hali ilozua taharuki kwa abiria.
Theme images by hanoded. Powered by Blogger.