TAARIFA KUHUSU AJIRA MPYA ZA WALIMU

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameyasema hayo alipokuwa anaongea na Wazazi mkoani Ruvuma katika ziara yake ya Serikali mkoani humo. Amesema serikali itamaliza tatizo la uhaba wa waalimu na hasa wale wa sayansi pindi itakapowaajiri julai mwaka huu.

Source: Dira ya Mchana TBC1
Theme images by hanoded. Powered by Blogger.