MKE WA MAGUFULI AFUATA NYAYO ZA MUMEWE
Kwa upande wake Mkuu wa Taasisi ya Moyo ya Dakta Jakaya Kikwete Profesa Mohamed Janabi amesema mufti Zubeiry kwa sasa anaendelea vizuri.Nae Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amewatoa hofu waumini wa dini ya kiislam nchini na watanzania kwa ujumla kuwa Mufti Zubeiry afya yake kwa sasa inazidi kuimarika.