Ada elekezi kufunga shule binafsi


By Waandishi Wetu, Mwananchi
Dar es Salaam. Uamuzi wa Serikali kuandaa ada elekezi kwa vyuo, shule za msingi na sekondari zinazomilikiwa na watu binafsi au mashirika ya dini, unatarajiwa kuwaweka wamiliki wake katika wakati mgumu na huenda ukawa mwanzo wa mwisho wa baadhi ya shule.
Theme images by hanoded. Powered by Blogger.