BAADA YA JUMA JUX KUONYESHA MJENGO WAKE DIAMOND THE PLATNUMZ NA YEYE AONYESHA YAKE NA KUSEMA NI NYUMBA YAKE YA KUMI

this is what we call music and competition kiukweli watanzania wengi wanakuwa na furaha pindi wanapoona wasanii wao wanafanya vitu vya maana badala ya kutaftiana skendo za kutoka na mara mwanamke huyu mara yule, so kama ulikuwa hujui hapo juzi kati msanii juna jux aliamua kuonyesha mjengo wake kupitia mtandao wa makubwa haya, kitu ambacho kiliwapa maswali mengi washabiki eti kwa pesa gani anazopata mpaka awe na mjengo kama ule, all in all inawezekana coz ni miongoni mwa wasanii ambao wanaojituma sana kwenye kazi zao.. hahah wadau wana visa eti kuna shabiki mmoja alifunguka na kusema eti since 2010 ndio hiyo nyumba ilianza kujengwa na kumalizika leo haha, but si kweli baada nakumbuka last time diamond the platnumz ameonyesha nyumba yake hiyo ilikuwa mwaka jana haya nanukuu maneno ya diamond the platnumz A year ago| Three weeks ago.... The Making of the State House!!!! My 10th House!..By the way Don't get twisted, das jus a Pool area #Gym #Jaccuzi #Counter #DancingHall #Studio #DartsCourt #BasketballCourt Etc.....
Theme images by hanoded. Powered by Blogger.