MPYAAAAA KUELEKEA MSIMU WA X-MAS MTU MMOJA AJITOKEZA NA KUJIITA YESU WENGI WAJITOKEZA NA KUMUABUDU

William Wanyonyi: Binadamu anayejiita Mungu na Kuabudiwa kama Mungu...

William Wanyonyi: Binadamu anayejiita Mungu na Kuabudiwa kama Mungu...
| Hapa ndiyo nyumbani kwake |
Jina lake
halisi ni William Wanyonyi,makazi yake makubwa yamekuwa karibu na mlima
Elgon na inasemekana ana wafuasi zaidi ya 1000 ana wake 25 na watoto
zaidi ya 95.
Baadhi ya wafuasi wake walilalamika kulipishwa michango kama vile chakula n.k huku wakiwa na hali mbaya sana ya kiuchumi.dhehebu lake analiita "lost israelites" na kudai kuwa mlima Elgoni ndio mlima zion.
Anasema yeye ndiyo baba yake yesu,kwa kuwa watu hawakumsikiliza basi aliamua kuja yeye mwenyewe.
Baadhi ya wafuasi wake walilalamika kulipishwa michango kama vile chakula n.k huku wakiwa na hali mbaya sana ya kiuchumi.dhehebu lake analiita "lost israelites" na kudai kuwa mlima Elgoni ndio mlima zion.
Anasema yeye ndiyo baba yake yesu,kwa kuwa watu hawakumsikiliza basi aliamua kuja yeye mwenyewe.
Anasema yeye ndiyo Baba yake Yesu, kwakuwa watu hawakumsikiliza basi aliamua kuja yeye mwenyewe. Dhehebu lake analiita "Lost Israelites" na kudai kuwa Mt. Elgon ndio mlima Zion.