TAARIFA KWA UMMA KUTOKA WIZARA YA HABARI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO



Simu: 022 2126826
Nukushi: 022 2126834
Tovutiwww.habari.go.tz 
Baruapepe: km@habari.go.tz












 

Jengo la PSPF Golden Jubilee Tower
Ghorofa ya Nane,
S. L. P. 8031,
7  Mtaa wa Ohio,
11481 DAR ES SALAAM.

 
                                              





TAARIFA KWA UMMA

DAWATI LA TAARIFA.

Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo inapenda kuwafahamisha wananchi kwamba  imeanzisha Dawati la Taarifa linatoa  fursa kwa jamii kupata Taarifa mbalimbali za Wizara kwa kupiga Simu namba zifuatazo: +255222122771 na +255222122772 ama kutuma ujumbe wa maneno kupitia barua pepe(email):dawati.taarifa@habari.go.tz  Na utapatiwa majibu sahihi kwa wakati.
Pia unaweza kufika katika ofisi za Wizara ambapo Dawati la Taarifa linapatikana Ofisi za Idara ya Habari Maelezo mtaa wa Samora ili kuweza kupata taarifa zaidi kuhusu huduma na namna unavyoweza kupata huduma zinazotolewa na Wizara.
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini:

Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
Theme images by hanoded. Powered by Blogger.