MECHI ZOTE ZITTAKAZO CHEZWA LEO DUNIA ZIKO HAPA ZAITAZAME
Ligi Kuu soka Tanzania bara imesimama kwa muda kupisha michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoanza January 3 2016 Zanzibar, lakini hiyo haimaanishi mtu wangu hakuna mechi kali za soka weekend ya January 2 na January 3. Najua bado unasherehekea mwaka mpya lakini, hizi ndio mechi 21 sio za kukosa siku ya Jumamosi ya January 2 na Jumapili January 3. Hii ni ratiba ya mechi za Kombe la Mapinduzi, Ligi Kuu Uingereza na Hispania.
- Yanga Vs Mafunzo Saa 16:15
- Mtibwa Sugar Vs Azam FC saa 20:15
Hii ni ratiba ya mechi za Ligi Kuu Uingereza kwa saa za Afrika Mashariki
- West Ham Vs Liverpool Saa 15:45
- Arsenal Vs Newcastle Saa 18:00
- Leicester Vs Bournemouth Saa 18:00
- Man Utd Vs Swansea Saa 18:00
- Norwich Vs Southampton Saa 18:00
- Sunderland Vs Aston Villa Saa 18:00
- West Brom Vs Stoke Saa 18:00
- Watford Vs Man City Saa 20:30
- Crystal Palace Vs Chelsea Saa 20:30
- Everton Vs Tottenham Saa 19:00
Ratiba ya Ligi Kuu Hispania kwa saa za Afrika Mashariki
- Espanyol Vs Barcelona Saa 18:00
- Atl Madrid Vs Levante Saa 22:30
- Málaga Vs Celta de Vigo Saa 00:05
- Rayo Vallecano Vs Real Sociedad Saa 14:00
- Granada CF Vs Sevilla Saa 18:00
- Real Betis Vs Eibar Saa 18:00
- Ath Bilbao Vs Las Palmas Saa 20:15
- Deportivo de La Coruña Vs Villarreal Saa 20:15
- Valencia Vs Real Madrid Saa 22:30