#Kali za Dunia Leo tar 16-1-2015 - Mkono waungwa kwenye mguu

Mtu aliyepata ajali na mkono kushindwa kuunganishwa ilibidi mkono huo uuungwe kwenye mguu kwa muda wa wiki mbili ili usiharibike huku kisubiria mkono uliokatika upate nafuu ili kipande chake kiungwe tena. Picha chini hapa. Usikose kesho kupata kali za dunia. Top world news.

Theme images by hanoded. Powered by Blogger.