The site for daily Tanzania Hard News and Entertainment
Home/Comedy/Udaku/Hivi Binti Akikuambia Haya Maneno, Anakua Anamaanisha Kweli au Fix Tu?
Hivi Binti Akikuambia Haya Maneno, Anakua Anamaanisha Kweli au Fix Tu?
Mambo vipi wanaume wenzangu marijali?
Hivi mfano uko kwenye mahusiano na binti anakuambia haya maneno kuwa
''Honey, i will die in your arms'' hivi huwa wanamaanisha kweli au ndio
kuongopeana tu ili nizidi kumpa hela?