VIDEO TAZAMA MVUA ILIVYOLETA MAAFA RUGWE
Mvua kubwa iliyoambatana na upepo mkali imeleta maafa makubwa katika kata ya Ikuti wilayani Rungwe, baada ya kuezua nyumba 23 na kuangusha migomba yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 250.
The site for daily Tanzania Hard News and Entertainment