Pichaz 10 kilivyohappen pande za Geita katika Show ya Yamoto Band, usiku wa Chrismass Dec 25 2015 …

Sikukuu  ya Chrismass ni moja kati ya sikukuu zenye mvuto duniani kote, imekuwa kawaida kwa vijana na watu wa rika tofauti tofauti kusherehekea kwa namna yao ya kipekee. Yamoto Band wakali wa hit single kadhaa ikiwemo kama Cheza kwa Madoido wameachia single yao mpya Mama, ambayo inafanya vizuri kama nyimbo zao nyingine, waliamua kuanzia Geita ziara yao ya Mama Tour kwa kuparty na watu wa Geita. Yamoto Band usiku wa Chrismass walipiga Show ambayo ilikuwa na Shangwe za kutosha kutoka kwa mashabiki wao baada ya wao kupimba na live band. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee Pichaz 10 za Show ya Yamoto Band Geita.
IMG-20151226-WA0000
IMG-20151226-WA0001
IMG-20151226-WA0002
IMG-20151226-WA0003
IMG-20151226-WA0004
IMG-20151226-WA0005
IMG-20151226-WA0006
IMG-20151226-WA0007
IMG-20151226-WA0008
IMG-20151226-WA0009
Theme images by hanoded. Powered by Blogger.