MJANE WA IDD AMIN AFARIKI DUNIA
Sarah
Kyolaba alikuwa mke wa mwisho wa kiongozi wa Uganda kunusurika kabla ya
kufariki wiki iliyopita katika Hospitali ya London Royal Free
Sarah Kyolaba alikuwa mke wa mwisho wa kiongozi wa Uganda kunusurika kabla ya kufariki wiki iliyopita katika Hospitali ya London Royal Free, imeripotiwa.
Mke
wa amini aliwahi kujulikana kama “Suicide Sarah” kwa sababu alipenda
kucheza muziki kwenye bendi ya jeshi ya Revolutionary Suicide
Merchanised Regiment Band.
Mke wa amini aliwahi kujulikana kama “Suicide Sarah” kwa sababu alipenda kucheza muziki kwenye bendi ya jeshi ya Revolutionary Suicide Merchanised Regiment Band.
Alioana na dikteta baada ya kuonana naye akicheza jukwaani akiwa na miaka 19. Wawili hao waliona kwa harusi ya kifahari ya pauni milioni 2 katika mji mkuu wa Kampala. Inasemekana alikuwa “mke nkipenzi” na aliitwa Lady Sarah Kyolaba Idi Amin.