Wanaume Wote Huzaliwa Wakiwa na Usaliti-Lulu
Lulu aliandika ujumbe huo kwa lugha ya ‘KIMOMBO’ “All men are born hardwired to betray, it's just a question of when….! don’t get too comfortable”
Kwa wale wafuatiliaji wa tamhilia ya REVENGE ya huko majuu , haya maneno sio mgeni kwao kwani mwanadada Victoria alishawahi kuyatamka.
Kutokana na picha ya sura ya upole aliyoibandika kabla ya kuandika maneno haya ilipelekea mashabiki kumuuliza kama amefanyiwa usaliti au? Huku wengine wakimpa pole….Mbali na mashabiki wake kumtaka afunguke zaidi juu ya kile kilichompata mwanadada Lulu hakujibu chochote.
Hivi jamani kauli hii ya wanaume wote kujawa nausaliti ndani ni kweli?