SOMA KICHEKESHO HIKI UJUE KUWA DUNIANI KUNA WATU WENYE AKILI SANAAAAAAAAA

Dogo mmoja anasoma darasa la tatu.
Dogo:mwalimu mimi nataka kusoma darasa
la nne maana hili la tatu halinifai,nina akili
sana
Mwalimu:mmh hebu nikuulize maswali
Dogo:sawa
Mwalimu:kwenye ndege kuna matofali 20
ukidondosha moja chini yanabaki mangapi?
Dogo:hili swali rahisi mno,yatabaki 19
Mwalimu:nipe hatua za kumweka tembo
kwenye fridge
Dogo:unafungua fridge,unamuingiza tembo
kisha unafunga friji
Mwalimu:nipe hatua za kumweka nyani
kwenye fridge
Dogo:unafungua fridge na kumtoa huyo
tembo uliyemweka kwanza kisha unamuingiza
nyani
Mwalimu:simba anasherehekea siku yake ya
kuzaliwa,wanyama wote wapo kasoro mmoja
tu, Ni nani na kwa nini?
Dogo:ni nyani kwa sababu tumemuweka
kwenye fridge
Mwalimu:bibi kizee amevuka mto wenye
mamba na viboko wengi,aliwezaje?
Dogo:amevuka kwa sababu wanyama wote
walikuwa kwenye sherehe ya siku ya kuzaliwa
ya simba
Mwalimu:sawa,ingawa bibi alivuka
mto,mwishowe alifariki,unadhani kwa nin?
Dogo:alikufa kwa kudondokewa na tofali
kutokakwenye ndege,kwenye yale 20
Dogo:mwalimu mimi nataka kusoma darasa
la nne maana hili la tatu halinifai,nina akili
sana
Mwalimu:mmh hebu nikuulize maswali
Dogo:sawa
Mwalimu:kwenye ndege kuna matofali 20
ukidondosha moja chini yanabaki mangapi?
Dogo:hili swali rahisi mno,yatabaki 19
Mwalimu:nipe hatua za kumweka tembo
kwenye fridge
Dogo:unafungua fridge,unamuingiza tembo
kisha unafunga friji
Mwalimu:nipe hatua za kumweka nyani
kwenye fridge
Dogo:unafungua fridge na kumtoa huyo
tembo uliyemweka kwanza kisha unamuingiza
nyani
Mwalimu:simba anasherehekea siku yake ya
kuzaliwa,wanyama wote wapo kasoro mmoja
tu, Ni nani na kwa nini?
Dogo:ni nyani kwa sababu tumemuweka
kwenye fridge
Mwalimu:bibi kizee amevuka mto wenye
mamba na viboko wengi,aliwezaje?
Dogo:amevuka kwa sababu wanyama wote
walikuwa kwenye sherehe ya siku ya kuzaliwa
ya simba
Mwalimu:sawa,ingawa bibi alivuka
mto,mwishowe alifariki,unadhani kwa nin?
Dogo:alikufa kwa kudondokewa na tofali
kutokakwenye ndege,kwenye yale 20
_____________________________________________
Nani
mtani jembe? Nyumba ya mlevi mmoja nje kuna shimo kubwa la maji bila
mfuniko. Siku moja karudi usiku kalewa tooooop, mambo yakawa hivi:
MUME: Fungua mlango!
MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako.
MUME: kama hufungui najitupa kwenye hili shimo nife kabisa.
MKE. Kufa huna faida yoyote duniani!
MUME kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye shimo dubwi!
MKE kajifunga kanga, kafungua mlango. Ghafla mume kaingia ndani na kumfungia mke nje.
MKE: Nifungulie la sivyo nitapiga kelele majirani waje.
MUME: Piga kelele na wakija uwambie unatoka wapi usiku huu na khanga moja. Nan jembe hapo, mume au mke?
MUME: Fungua mlango!
MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako.
MUME: kama hufungui najitupa kwenye hili shimo nife kabisa.
MKE. Kufa huna faida yoyote duniani!
MUME kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye shimo dubwi!
MKE kajifunga kanga, kafungua mlango. Ghafla mume kaingia ndani na kumfungia mke nje.
MKE: Nifungulie la sivyo nitapiga kelele majirani waje.
MUME: Piga kelele na wakija uwambie unatoka wapi usiku huu na khanga moja. Nan jembe hapo, mume au mke?
Jamaa mmoja alikuwa anasumbuliwa na panya nyumbani kwake siku moja akaamua
kuwategea sumu kwa kuipaka kwenye kiti moto(nyama ya nguruwe), kesho
yake alipoangalia mtego akakuta kuna kikaratasi kmeandikwa.... “Utuwekee
kwenye samaki sisi wengine waislam!!”
_________________________________________________