MABOMU YAPIGWA KARIAKOO LEO MCHANA WATU WAPOTEZA FAHAMU TAZAMA HALI ILIYO JILI HUKO

Msamaria mwema akimbeba Mamalishe alifahamika kawa jina la Khadija Rashidi aliezirai baada ya milipuko ya mabomu katika ghasia za wamachinga na Askari Polisi leo mchana katika eneo la kariakoo. Mama lishe huyo alikuwa katika shughuli zake za kutayarisha chakula ghafla wamachinga waliokuwa wanakimbia kutaka kujificha katika sehemu za wafanyabiashara hao. 
baadhi ya wasamaria wakimsaidia Mama lishe aliefahamika kwa jina Mwanahamisi ambaye alizimia baada ya mabomu kurindima katika vurugu kati ya wamachinga na Askari Polisi cha FFU leo mchana.
Mashuhuda.
Askari Polisi wakiwapakia kwenye gari baadhi ya Wamachinga waliosababisha tafrani katika eneo la Kariakoo,Jijini Dar es salaam mchana wa leo
Theme images by hanoded. Powered by Blogger.