WATU 15 WAFARIKI DUNIA BAADA YA GARI LILILOBEBA GESI KURIPUKA

Ajali hiyo ilisababisha moto mkubwa, uliofunika gari mbili zilizokuwa zikipita pamoja na riksho mbili zilizokuwa zikibeba watoto wanaokwenda shule. Majeruhi wakiwemo wanawake na watoto wa shule wamepelekwa hospitali, na baadhi yao wako katika hali mahututi.

Takriban watu 15 wakiwemo watoto 10 wa shule wamefariki na wengine wengi kujeruhiwa, kufuatia gari la kubebea gesi kulipuka leo asubuhi baada ya kugongana na gari jingine mashariki mwa Pakistan.
Ajali hiyo ilisababisha moto mkubwa, uliofunika gari mbili zilizokuwa zikipita pamoja na riksho mbili zilizokuwa zikibeba watoto wanaokwenda shule. Majeruhi wakiwemo wanawake na watoto wa shule wamepelekwa hospitali, na baadhi yao wako katika hali mahututi.

Takriban watu 15 wakiwemo watoto 10 wa shule wamefariki na wengine wengi kujeruhiwa, kufuatia gari la kubebea gesi kulipuka leo asubuhi baada ya kugongana na gari jingine mashariki mwa Pakistan.




Takriban watu 15 wakiwemo watoto 10 wa shule wamefariki na wengine wengi kujeruhiwa, kufuatia gari la kubebea gesi kulipuka leo asubuhi baada ya kugongana na gari jingine mashariki mwa Pakistan.

Ajali hiyo ilisababisha moto mkubwa, uliofunika gari mbili zilizokuwa zikipita pamoja na riksho mbili zilizokuwa zikibeba watoto wanaokwenda shule. Majeruhi wakiwemo wanawake na watoto wa shule wamepelekwa hospitali, na baadhi yao wako katika hali mahututi.

Ripoti rasmi ya chanzo cha ajali hiyo itatolewa baada ya polisi kumaliza uchunguzi. Hata hivyo, mashuhuda walisema dereva alishindwa kudhibiti gari lake na kuligonga gari jingine kutokana na ukungu mzito.
Theme images by hanoded. Powered by Blogger.