SABABU NA CHANZO CHA KUHARIBIKA KWA KURA NYINGI UCHAGUZI MKUU 2015



Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi nchini Tanzania NEC Kailima Ramadhani akifungua Mkutano wa Tathimini  kati ya Tume na Asasi za Kiraia kuhusu Elimu ya mpiga Kura wakati wa Uchaguzi wa mwaka 2015, uliofanyika katika ukumbi wa Victoria Palace jijini Mwanza.
Pamoja na kutambua kazi kubwa iliyofanywa na Asasi za kiraia kwa kuweza kutoa Elimu ya mpiga kura na kuwahamasisha wananchi wote na wale wanaoishi maeneo yasiyofikika kwaurahisi kuweza kushiriki katika zoezi la upigaji kura.

Bado kulijitokeza changamoto za uelewa kuhusu alama sahihi inayohitajika kuwekwa katika karatasi za kura. Baadhi ya wapiga kura walikuwa wanaweka alama ya V kwa mgombea wanayemtaka na kuweka alama X kwa mgombea asiyemtaka na hivyo kupelekea kura nyingi kuharibika. BOFYA PLAY KUSIKILIZA.
Theme images by hanoded. Powered by Blogger.