MAZOMBIA YAWATESA WAKAZI WA ZANZIBAR

Watu waliojulikana ambao wanaingia visiwani unguja huko zanzibar wameendelea kuwavamia wananchi na wakazi  wa zanzibar nakuwapiga mara kwa mara . watu hao ambao ni maarufu kama MAZOMBI wamekua wakifanya yote hayo lakini jeshi  la polisi limedai kua halina taarifa Zao







Theme images by hanoded. Powered by Blogger.