WANACHI WAMKATAA MWENYEKITI WA KIJIJI MBELE YA KAMATI YA USALAMA
#Habari:Wananchi wa kijiji cha Kisaki tarafa ya Bwakira wilaya ya Morogoro vijijini wamemkataa mwenyekiti wa kijiji hicho Ismail Ng’anja mbele ya kamati ya ulinzi na usalama.->http://bit.ly/1RR5oCe


