MAJABU YA MWAKA MPYA: MWANAMKE AJIFUNGUA KIUMBE CHA AJABU MAMIA YA WATU WAFURIKA KUKIONA KINATISHA SANA SOMA ZAIDI HAPA

Jamjicho
Jamjicho
Ukistaajabu ya musa utayaona ya Filauni... imeshangaza dunia baada ya mama mmoja (jina kapuni)  huko makambako mkoani njombe amejikuta anajifungua kiumbe cha ajabu na kupelekea kuleta gumzo mtaani...  Daima mama huyo mwenye watoto 6, kila mtoto na baba  yake amekuwa na mazoea ya kuingilia ndoa za watu tena kwa nguvu bila kujali mume wa ndugu au mtu mwingine kwa kutumia njia za ushirikina... Hali hiyo ilileta masikitiko sana hapa makambako lakini baada ya mama huyu juzi kujifungua kiumbe cha ajabu mamia ya watu waliekwenda kumuona nyumbani kwake ambako alijifungulia kiumbe hicho  na kushangazwa sana, kiumbe hicho kama unavyokiona pichani ndiyo alichojifungua mama huyo kitazame kinavyotisha.....







Theme images by hanoded. Powered by Blogger.