HATARIII;WAKATI MAALIMU SEIF AKIZIDI KUOTA URAIS ZNZ,DR SHEIN AZIDI KUKOMAA NA HILI MCHANA KWEUPEE
Sherehe
za miaka 52 ya mapinduzi zinazidi kuendelea kisiwani Zanzibar ambapo
rais wa Zanzibar Dr.Ali Mohamed Shein amelifungua jengo jipya la huduma
za nje katika Hospitali ya Kuvunge mkoa wa kaskazini Unguja.
Akitoa salamu zake kwa waananchi atika hotuba yake iliyosomwa kwa
niaba yake na wazir wanchi ofisi ya rais Dr.Mwinyi Haji Makame ambaye
alifungua jengo jipya la huduma za nje katika mkoa huo wa Kaskazini
Unguja Dr.Shein amesema mapinduzi yameleta faida kubwa nchini kuna haja
ya kulindwa na kusisitiza azma ya serikali iko pale pale kuhakikisha
kuwa wananchi wanapatiwa huduma za faya kama walivyoahidiwa baada ya
mapinduzi ya mkaa 1964.
Mapema katibu mkuu wizara ya afya Dr.Saleh Mohamed Jidawi amesema
jengo hilo limegharimu msaada wa milioni 461 uliotolewa na shirkia la
HIPZ na wafadhili wengine wakiwemo mfuko wa bima ya afya ambapo kaimu
mkurugenzi wa mfuko huo Bw.Michel Muhando amesema watahakiksiha hopitali
hiyo inakuwa katika daraja la wilaya na watahahakisha bima ya afya
kwa wakazi wa wilaya hiyio inakuwa ya uhakika.