TABWE MFUNGAJI BORA VPL
Msimu uliopita mfungaji bora alikua Simon Msuva wa Yanga pia na msimu kabla ya huo aliekua mfungaji bora alikua Tambwe pia.
Huu unaonekana kuwa msimu mzuri kwa Tambwe na timu yake ambayo bado imeendelea kuwa kileleni mwa ligi kuu ya Vodacom