MKUU WA MKOA KILIMANJARO AFYEKA MASHAMBA YA MIRUNGI

#‎YALIYOJIRI‬ Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Amos Makalla, juzi aliwaongoza wajumbe wa Kamati za Ulinzi na Usalama wilayani Same na wanafunzi wa mafunzo ya uaskari wa Shule ya Polisi Moshi (MPA) zaidi ya 100, kufyeka mashamba ya mirungi yenye ukubwa wa zaidi ya ekari 60.
Unadhani kwanini bidhaa hili ni maarufu zaidi mikoa ya kaskazini?
Theme images by hanoded. Powered by Blogger.