LIPUMBA: SHEIN KUBALI MATOKEO YA UCHAGUZI ILI TUSONGE MBELE

YALIYOJIRI‬ Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba, amemtaka Rais wa Zanzibar, Dk. Mohammed Shein, kukubali matokeo ya uchaguzi yatangazwe ili kuiepusha nchi kuingia kwenye machafuko.
Kama mtanzania mzalendo, nini maoni yako?
Theme images by hanoded. Powered by Blogger.