KESI YA KUBENEA NA MAKONDA IMEFIKIA HAPA

#‎PICHA‬ Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea akizungumza na wakili wake, Peter Kibatala (kushoto) pamoja na aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha (katikati), kabla ya kupanda kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam jana kusikiliza kesi zinazowakabili. Kubenea anatuhumiwa kwa kutumia lugha ya matusi kwa mkuu wa Mkoa wa Kinondoni, Paul Makonda huku Masha akituhumiwa na shitaka la kutoa lugha ya matusi dhidi ya maofisa wa Jeshi la Polisi.
Theme images by hanoded. Powered by Blogger.