JOTO LA DAR NI NOUMA SANA KWA SASA

#PICHA Kijana akiwa amelala katika bustani za Jivanjee/ Karimjee, mtaa wa Sokoine jijini Dar es Salaam, kutokana na jua kali linaloendelea nyakati za mchana jijini humo.

Ugumu wa maisha kwa vijana, nini suluhisho ya hili?
Theme images by hanoded. Powered by Blogger.