PROGRAM 6 MPYA KWA SMARTPHONE>>> DOWNLOAD HAPA KUWEZESHA SIMU YAKO

1.     Vid Mate, Ni program inayokusaidia kudownload video mbalimbali katika Youtube,Watsapp, na Facebook pia kwa wale wapenda mambo yetu yale ndani ya VidMate una ingia katika DesiLady.



2.Vault, Ni app inayokusaidia kuficha vitu katika simu yako kama,video,message, na picha ambapo mtu hawezi ona sms zako za siri au picha zako za siri.

3.   Go sms Pro, Ni app nzuri sana katika simu yako ina badilisha mwonekano wako wote katika sms katika sehemu ya sms kunakuwa na mwonekano mzuri sana.



4.   Imo, Ni app unayoweza kuwasiliana na mtu ukamwona na yeye akakuona katika simu yako hasa vizuri zaidi simu yako ikiwa na kamera ya mbele ni nzuri na inafaa zaidi.

5.     Shazam, Ni app ambayo inakusaidia kujua au kutambua wimbo ambao huujui kama wimbo unaimba na huujui jina au msanii basi app hii ni nzuri unaifungua na kuisikilizisha wimbo huo na kukupa jina na wimbo


  6.Tanzania Newspapers, Ni app ambayo inakusaidia kusoma magazeti katika simu yako na ukawa update na habari mpya za kila siku magazeti kama,Mwanainchi,Daily News,Habari Leo,Tanzania Daima, n.k
Theme images by hanoded. Powered by Blogger.