BARAZA KUU CUF LAKUTANA ZANZIBAR



Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CUF (Bara) bibi Magdalena Sakaya, Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar) Mhe. Nassor Ahmed Mazurui, pamoja na baadhi ya wajumbe wa baraza kuu la Uongozi CUF, mara baada ya kuwasili katika hoteli ya Mazsons Mjini Zanzibar kwa ajili ya kuanza kikao hicho.
Theme images by hanoded. Powered by Blogger.