The site for daily Tanzania Hard News and Entertainment
Home/Politics/ZITTO KABWE AWA MFALME KIGOMA>>>>TAZAMA HAPA
ZITTO KABWE AWA MFALME KIGOMA>>>>TAZAMA HAPA
Kiongozi
wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akiwapungia mkono wakazi wa
mji wa Kigoma jana wakati akiwasili kabla ya kufanya mkutano wahadhara
wa kutambulisha viongozi wa chama hicho.Mwenyekiti
wa chama cha ACT Wazalendo, Anna Mghwira, akiwapungia mkono wakazi wa
mji wa Kigoma jana wakati akiwasili kabla ya kufanya mkutano wahadhara
wa kutambulisha viongozi wa chama hicho.Kiongozi
wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akicheza wimbo wa chama
ulioimbwa na msanii, Baba Levo, wakati wa mkutano wahadhara mjini Kigoma
jana. (DK)
Baadhi ya wakazi wa mji wa Kigoma wakifuatilia mkutano wa hadhara wa chama cha ACT Wazalendo mjini Kigoma jana.