Kumbe P Square hawajaingia kanisani kusali toka mwaka 2007? Kisa ni hiki hapa…
Jamaa hao ambao kwa pamoja dunia inawajua kama P Square
wameingia kwenye Headlines baada ya kufanyiwa Interview na kuyafunua
mengine kwamba hawajaenda Kanisani toka mwaka 2007 kwa vile ilikuwa
wakiingia tu macho ya watu wote yanakuwa kwao!!
“Kila mara
tukiingia Kanisani macho ya watu wote yanakuwa kwetu, wanaacha
kumsikiliza Mchungaji.. wanaacha kusali wanaanza kutushangaa“>>> P Square.
“Tuliona
sio vizuri.. ni kama tulikuwa tunasababisha watu waache kufanya
kilichowapeleka Kanisani, tukaamua tuache kabisa kwenda Kanisani… Watu
wote ni sawa mbele za Mwenyezi MUNGU, sio kitu kizuri watu wakasahau
kusali kwa sababu yetu”—P Square.