Mch. Gwajima Amgomea Makonda, Asema Hatopoteza Muda Wake Kwenda Kumuona Mkuu Huyo wa Wilaya


Mchungaji wa makanisa ya kipentekoste mch. Josephat Gwajima amesema hatapoteza muda wake kwenda kumuona Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda.

Amesema barua aliyoipata toka kwa Mkuu wa Wilaya imemfedhehesha na kasema hataijibu itajibiwa na maombi ya mnyororo yanayoendelea.

Chanzo: Kutoka magazetini.
Theme images by hanoded. Powered by Blogger.