KINANA-WANANCHI WA KARATU WANA HAKI YA KUPATA HUDUMA MBALIMBALI ZA MAENDELEO KAMA WENGINE.




Hata hivyo Kinana amesema wananchi wa Karatu ni Watanzania na wana haki ya kupata huduma mbalimbali  za maendeleo na serikali ya CCM haitawaacha kama wanavyoachwa na viongozi wao wa CHADEMA waliowachagua wenyewe.

 

Baadhi ya wafuasi wa chama cha CCM wakishangilia jambo uwanjani hapo.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwahutubia wananchi wa Karatu waliojitokeza kwa wingi katika mkutano huo wa hadhara
Baadhi ya wananchi wakifuatilia kwa makini yaliyokuwa yakizungumzwa na Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana kwenye mkutano huo wa hadhara.
Wananchi wa kijiji cha Baray-Mbuga Nyekundu wakimshangilia Katibu wa NEC Itikadi na uenezi,Nape Nnauye alipozungumza kabla ya Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana kushiriki ujenzi wa jengo la kituo cha upasuaji afya .
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa kata ya Baray.
Theme images by hanoded. Powered by Blogger.