HIVYO NDIVYO YA MOTO BENDI WANAVYOTENGENEZA VIDEO YAO TAZAMA HAPA FULL PICHA
Kundi la Yamoto Band linalosimamiwa na Mkubwa na Wanae pamoja na
kupata mashabiki wengi kila kona ya Tanzania time hii wapo katika
maandalizi ya video yao mpya ya wimbo uitwao Ntakupwelepweta
Video hiyo inatayarishwa chini ya director Adam Juma wa kampuni ya Visual Lab/NextLevel na hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye utengenezwaji wa video hiyo mpya.
Video hiyo inatayarishwa chini ya director Adam Juma wa kampuni ya Visual Lab/NextLevel na hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye utengenezwaji wa video hiyo mpya.