AZAM NA YANGA YAWAKUTA YA SIMBA

Mshambuliaji wa Yanga,Hamis Tambwe akiipatia timu yake bao la kusawazisha katika mtanange wa muendelezo wa ligi kuu tanzania bara unaoendelea kuchezwa hivi sasa kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es salaam.Yanga inaongoza bao 2-1.Picha zote na Othman Michuzi.
Mfungaji wa goli la kwanza kwa timu ya Yanga,Hamis Tambwe na Mfungaji wa Bao la pili,Simon Msuva wakishangia ushindi wao dhidi ya timu ya Azam katika uwanja wa taifa jijini Dar es salaam hivi sasa.
Wachezaji wa Yanga wakishangilia ushindi na Washabiki wao.
Wachezaji wa timu ya Azam FC wakishangilia goli yao la kwanza dhidi ya Yanga
Theme images by hanoded. Powered by Blogger.