HATARII>>>KIJANA AJIKATA ULIMI ILIAWEZE KUONANA NA MUNGU WA IMANI YAKE>>>>SOMA ZAIDI HAPA

KATIKA hali isiyo ya kawaida raia mmoja wa India alijikata ulimi wake ili kukidhi matakwa ya kuonana na Mungu wa imani yake.
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni lilipelekea raia huyo kutokwa na damu nyingi ambazo zilimfanya awaishwe hospitalini kwa ajili ya kuongezewa damu
Theme images by hanoded. Powered by Blogger.