Nastaafu Kuuza Wake Za Watu. Ijue biashara ya wake za watu in and out.
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nimefanya biashara ya wake za watu kitambo sanaa. Nina uzoefu wa miaka si chini ya 5 katika fani hii, na mwaka huu 2016 nimekata shauri to retire for good. Kama biashara zote haramu kuacha sio rahisi kabisaaa, nishasema naachaa, naacha siachi wala nini. Ikitokea tenda najikuta nishauza mtu.
Kikubwa kinachonifanya niachane na ufirauni huu ni kumrudia Mungu, nimechoshwa na Adakadebra za shetani. Unapata hela ila zinafanya kupita tu mikononi mwako, hamna lolote la maana unalofanikiwa. Nikiwa alosto 2015 mwanzoni nilivokuwa nawomba vocha humu mpaka yule mdau akanitumia 200,000 sitoka nisahau maishani wakati nishashikaga mamilioni mara kibao ila nilimuona Mungu wa 3 siku hio. Ubarikiwe baba, nilimuomba Mola alie hai, kama kweli yupo, na ni mwema, aniponyeeee, nisiumwe tenaaa, he should give me back whatever was robbed from me by fate, my former career in Multinational companies, a cute, humble to die for BF, My previous body, Graduation and a legit fashion business by 2016 and i will serve thy Lord. Hayakuwa maombi ya mara moja, ilikuwa months and months of begging, Kwaresma niliizingatia ni balaaa. Tb Joshua You tube alinikoma.
soma full habari kupitia jamiiforum,
Nimefanya biashara ya wake za watu kitambo sanaa. Nina uzoefu wa miaka si chini ya 5 katika fani hii, na mwaka huu 2016 nimekata shauri to retire for good. Kama biashara zote haramu kuacha sio rahisi kabisaaa, nishasema naachaa, naacha siachi wala nini. Ikitokea tenda najikuta nishauza mtu.
Kikubwa kinachonifanya niachane na ufirauni huu ni kumrudia Mungu, nimechoshwa na Adakadebra za shetani. Unapata hela ila zinafanya kupita tu mikononi mwako, hamna lolote la maana unalofanikiwa. Nikiwa alosto 2015 mwanzoni nilivokuwa nawomba vocha humu mpaka yule mdau akanitumia 200,000 sitoka nisahau maishani wakati nishashikaga mamilioni mara kibao ila nilimuona Mungu wa 3 siku hio. Ubarikiwe baba, nilimuomba Mola alie hai, kama kweli yupo, na ni mwema, aniponyeeee, nisiumwe tenaaa, he should give me back whatever was robbed from me by fate, my former career in Multinational companies, a cute, humble to die for BF, My previous body, Graduation and a legit fashion business by 2016 and i will serve thy Lord. Hayakuwa maombi ya mara moja, ilikuwa months and months of begging, Kwaresma niliizingatia ni balaaa. Tb Joshua You tube alinikoma.
soma full habari kupitia jamiiforum,